iqna

IQNA

shahidi soleimani
Jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Iraq, Mohammed Shia' al-Sudani amemuenzi kamanda wa ngazi ya juu wa kupambana na ugaidi wa Iran, Luteni Jenerali Qassem Soleimani na mwenzake wa Iraq, Abu Mahdi al-Muhandis, waliouawa katika shambulio la kigaidi la ndege zisizo na rubani za Marekani karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad miaka mitatu iliyopita, na kusema kuwa mauaji hayi yalikuwa "shambulio kali" dhidi ya uhuru na mamlaka ya kujitawala Iraq.
Habari ID: 3476365    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kwanza wa Kimataifa wa Fikra za Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani limemalizika hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3476363    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Kumbukizi ya Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA) – Mwanachama mwandamizi wa harakati ya muqawama au mapambano ya Palestina, Jihad Islami, amesema shahidi Qassem Soleimani aliweza kutoa motisha kwa wapiganaji wote wa harakati za mapamano.
Habari ID: 3476351    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Kumbukizi ya Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Wamarekani wanapaswa kujua kwamba watu wa Iran hawataiacha damu ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani iende burE, na bila shaka watalipiza kisasi kwa damu ya shahidi huyo wa ngazi ya juu.
Habari ID: 3476349    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Shahidi Qassem Soleimani
TEHRAN (IQNA) - Msafara wa Qur'ani uliopewa jina la 'Luteni Jenerali Qassem Soleimani', aliyekkuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), umezinduliwa kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kamanda huyo aliyeongoza vita dhidi ya ugaidi katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3476328    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/30